Familia zimetakiwa kufanya mazoezi ili kujenga afya na kuepukana na magonjwa nyemelezi

Na Barnabas Kisengi-Katavi March 13, 2021 Familia zimetakiwa kujenga mazoea ya kufanya mazoezi kwa pamoja ili kuweza kujenga afya za miili na kuepukana na magonjwa yasiyoambukiza na kuwafanya Watoto waweze kuelewa umuhimu wa kufanya mazoezi wangali wadogo.Rai hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima wakati